Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akitazama ngoma kabla ya kufungua kongamno la
ufugaji nyuki Afrika kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Arusha
(AICC) Novemba 11, 2014. Kushoto ni Waziri wa Maliasili na Utalii,
Lazaro Nyalandu
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipata maelezo kuhusu vifaa vya
kukamulia asali kutoka kwa watalaam wa Kichina, Huang Hejie (kushoto) na
Zhinyong Wang (watatu kushoto) katika kongamano la Ufugaji Nyuki
Afrika lililofanyika kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Arusha
(AICC) Novemba 11, 2014.
Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akitazama
mazao mbalimbali yanayotokana na nyuki katika maonyesho yaliyokwenda
sambambamba na Kongamano la Ufugaji Nyuki Afrika kwenye Kituo cha
Mikutano cha Kimataifa cha Arusha (AICC), Novemba 11, 2014. Kushoto ni
Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu na kushoto kwake ni
Mhamasishaji wa ufugaji nyuki na usindikaji asali wilayani Loliondo,
Krystern Erickson.
Comments