RONALDO, MESSI WAPIGA SOGA KABLA MECHI OLD TRAFFORD




 Nani anasema Cristiano Ronaldo na Lionel Messi huwa hawapigi stori? Angalia mwenyewe.
Wawili hao walipiga stori za kutosha tu kabla ya mchezo wa kirafiki kati ya Argentina na Ureno haujaanza kwenye Uwanja wa Old Trafford mjini Manchester, England, leo.
Hata hivyo, walizungumza kwa staili ya aina yake kila mmoja akiziba mdomo wake.
Wote walifanya hivyo kuhofia wataalamu wa kusoma midomo wasigundue wanachozungumza.
Hivi karibuni kulikuwa na taarifa Ronaldo alimtusi Messi, hata hivyo Mreno huyo alikanusha vikali.


Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA