Taasisi ya Starkey Hearing Foundation ya Marekani yaendesha kliniki ya masikio mkoani Arusha

      


1qMMOJA wa wataalamu wa kuchunguza matatizo ya masikio,Stuart Specer kutoka Taasisi ya Starkey Hearing Foundation ya nchini Marekani inayoendesha kliniki ya masikio aakitaniana na mkazi wa Arusha,Ally Abdulrahman aliyewahi kuishi nchini humo ambaye kwa sasa ana matatizo ya kusikia kwenye kliniki inayofanyika kwenye viwanja vya Hoteli ya Kibo PalaceJijini Arusha jana
3qWanafunzi wa Chuo Kikuu cha Mount Meru na chuo cha Biashara cha Arusha (IAA) waliokuja kujitolea wakisaidia kutoa huduma mbalimbali kwenye kliniki ya masikio iliyoratibiwa kwa pamoja kati ya Montage Limited na Starkey Hearing Foundation inayofanyika kwenye viwanja vya Hoteli ya Kibo Palace jijini Arusha jana
4qWagonjwa wenyematatizo ya usikivu wakisubiri kupata matibabu kwenye kliniki ya matibabu na uwekaji vifaa vya kuongeza kiwango cha usikivu iliyoratibiwa kwa pamoja kati ya Montage Limited na Starkey Hearing Foundation inayofanyika kwenye viwanja vya Hoteli ya Kibo Palace jana.
5qBaadhi ya wanafunzi wa Shule ya MsingiMeru wakisubiri kupatiwa huduma ya matibabu ya masikio kwenyeKliniki inayoendesha na taasisi kutoka Marekani ya Starkey Hearing Foundation inayofanyika kwenye viwanja vya Hoteli ya Kibo Palace jijini Arusha jana.
7qDAKTARI, Assay Shibanda(kushoto) na John Yuccas wakimwekea mwanafunzi wa Shule ya Msingi Elbol,Levina Innocent mashine ya kuongeza kiwango cha usikivu kwenye Kliniki inayoendeshwa kwa pamojakati ya Montage Limited na taasisi kutoka Marekani ya Starkey Hearing Foundation ya kuwawekea vifaa vya kuongeza usikivu inayofanyika kwenye viwanja vya Hoteli ya Kibo Palace jijini Arusha jana
8qMtaalamu wa matatizo ya usikivu kutoka Taasisi ya Starkey Hearing Foundation ya nchini Marekani, Derek Johson akimfanyia uchunguzi wa awali wamasikio mmoja wa watu wenye usikivu hafifu waliokuja kuhudhuria Kliniki inayofanyika kwenye viwanja vya Hoteli ya Kibo Palace jijini Arusha jana
9qMratibu wa Taasisi ya Starkey Hearing Foundation kutoka Marekani, Derek Johnson akitoa maelezo ya awali kwa wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Mount Meru na chuo cha Biashara cha Arusha, (IAA) waliokuja kujitolea kutoa huduma mbalimbali ya matibabu na uwekaji vifaa vya kuongeza kiwangocha usikivu masikioni kwenye Kliniki inayofanyika kwenye viwanja vya Hoteli ya Kibo Palace jana. Kushoto ni Msimamizi Mkuu wazoezi hilo, Teddy Mapunda.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI