“nilimuuliza
kama alitumia kondom, akasema ndio , sema nilivyoenda kuoga niliona
shahawa zake ndipo nilipogundua ulikua ni uongo. nilitamani kujiu kwa
kuhofia mimba na ukimwi juu”
Alipogundua ameathirika binti huyu alimueleza Javan japokuwa jamaa mwenyewe alimwambia kwamba hupo safi na hajaathirika.
“Nilikua nina mawazo mengi sana.
Nikanywa pombe kupitiliza , nilifikia hatua nikanunua sumu, uchungu
ulikua mkubwa sana.Nitaiambia nini jamii inayonizunguka ? Nimewaangusha
wazazi wangu, nikakata tamaa ya kuishi duniani na kutamani kukatisha
maisha yangu. Future yangu imeshaharibiwa.nikasema kunanjia mtu inabidi
alipe machungu haya.” alilielezea dada huyu.
Baada ya ushauri kutoka kwa watu
mbalimbali basi msichana huyu alinyanyuka na kuanza maisha mapya .
“nilikubaliana na hali niliyokua nayo na kujiwekea nadhiri ya kuwatesa
wanaume watakaojileta mbele yangu ”
“Najua mimi ni mtu ninayevutia na
wanaume kibao wananifukuzia kushoto , kulia. Nikazika upande wangu mzuri
ndipo hapo nilipogeukia upande mbaya. Kusudio langu lilikua kuambukiza
ukimwi wanaumengi wengi kadiri inavyowezekana”
Mwanafunzi huyu amesema kwamba
ameweka list ya wanaume aliowaambukiza ukimwi na ataitoa siku
atakayozikwa. “Najua sina cha kufanya tena hapa duniani zaidi ya
kusubiri kifo changu lakini kabla sijaenda kaburini wanaume wengi
watanielewa”
Dada huyu amesema amewaambukiza
ukimwi wanaume 324, 156 wakiwa ni wanafunzi wa Kabarak University
alipokua anasoma.Waliobaki ni wanaume walioolewa, ma-lectures ,
ma-lawyers , watu maarufu na wanasiasa. Amesema Kusudio lake ni
kuambukiza wanaume 2000 katika nchi za Afrika Mashariki. Gazeti la
Kenyan Daily Post liliripoti.
“siku haipiti bila kufanya mapenzi. Wakiwa wengi ni watu wanne kwa siku. ” mrembo huyu aliendelea kufunguka.
“Hakuna kitu kitakachonizuia mimi
kutimiza malengo yangu kwa kuendelea kulala na wanaume.Huwezi kujua
inawezekana umeshalala na mimi, au kama sio wewe ni kaka yako , au mme
wako , au rafiki yako, au baba yako tayari ameshalala na mimi”
“siku yako itafika. wewe mwanaume umeharibu maisha yangu sasa ni wakati na mimi niharibu maisha yako” alimalizia mrembo huyu.
Comments