TCRA yawapiga msasa mabloga kuhusu Uchaguzi


 Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Prof. John Nkoma akitoa ufafanuzi alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo,  baada ya kufungua mkutano uliowashirikisha viongozi wa TCRA na wamiliki wa Blogs (Bloggers) Tanzania wenye lengo la kutoa mafunzo ya namna ya kutoa taarifa sahihi zisizo na upendeleo hasa wakati wa Uchaguzi Mkuu mwaka ujao. (PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA)
 Mmiliki wa Blog ya Mzee wa Matukio Daima, Francis Godwin, akichangia hoja kuhusu ushirikishwaji wa wamiliki wa blog wa mikoani katika mikutano mbalimbali inayoandaliwa na TCRA. Godwin alichaguliwa katika mkutano huo kuwa mwakilishi wa wamiliki wa blogs wa mikoani katika kamati iliyoundwa katika mkutano huo ya kuhakikisha chama cha mabloga Tanzania kinasajiliwa na kuanza kufanya kazi.
 Mmiliki wa Blog ya Bongo Weekend, Khadija Kalili akichangia hoja wakati wa mkutano huo.
 Baadhi ya wamiliki wa blogs wakiwa katika mkutano huo ulioandaliwa na TCRA, jijini Dar es Salaam











 Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo, Assah Mwambene akifunga mkutano huo.





Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA