Waziri Mkuu Mizengo Pinda akionesha mfano wa hundi wa dola elfu hamsini kutoka Tigo kama mchango wa kampuni hiyo wakati akiendesha harambee ya kuchangia upatikanaji wa madawati nchini ulioandaliwa juzi na mfuko wa Hassan Maajar Trust (HMT) jijini Dar es Salaam. Akishuhudia kulia ni Mwenyekiti wa HMT Balozi Mwanaidi Maajar na Meneja wa Uwajibikaji kwa Jamii kutoka Tigo Bi. Woinde Shisael (kushoto).
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiangalia mfano wa hundi wa dola elfu hamsini kutoka Tigo kama mchango wa kampuni hiyo wakati akiendesha harambee ya kuchangia upatikanaji wa madawati nchini ulioandaliwa juzi na mfuko wa Hassan Maajar Trust (HMT) jijini Dar es Salaam. Akishuhudia kulia ni Mwenyekiti wa HMT Balozi Mwanaidi Maajar na Meneja wa Uwajibikaji kwa Jamii kutoka Tigo Bi. Woinde Shisael (kushoto).
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiangalia mfano wa hundi wa dola elfu hamsini kutoka Tigo kama mchango wa kampuni hiyo wakati akiendesha harambee ya kuchangia upatikanaji wa madawati nchini ulioandaliwa juzi na mfuko wa Hassan Maajar Trust (HMT) jijini Dar es Salaam. Akishuhudia kulia ni Mwenyekiti wa HMT Balozi Mwanaidi Maajar na Meneja wa Uwajibikaji kwa Jamii kutoka Tigo Bi. Woinde Shisael (kushoto).
Comments