KAMBI YA WATOTO WANAOHUDUMIWA KATIKA VITUO VINAVYOSAIDIWA NA AGPAHI YAFUNGULIWA MJINI

Mganga mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Dk Mtumwa Mwako akizungumza wakati wa ufunguzi wa kambi ya watoto (Ariel camp) wanaopata huduma katika vituo mbalimbali vya afya vinavyosaidiwa na shirika lisilo la kiserikali la AGPAHI linalofanya kazi katika mikoa ya Shinyanga na Simiyu.
Mkurugenzi wa Miradi wa AGPAHI, Dk Amos Nsheha akizungumza wakati wa ufunguzi wa kambi ya watoto inayofanyika wiki hii katika Hotel ya Uhuru mjini Moshi.
Baadhi ya watoto wanaoshiriki kambi hiyo wakifuatilia hotuba zilizokuwa zikitolewa na mgeni rasmi pamoja  na viongozi wengine mbalimbali .
Afisa Mawasiliano na huduma za Mikoba kwa jamii wa shirika la AGPAHI, Jane Shuma akizungumza katika ufunguzi wa kambi hiyo ya watoto mjini Moshi.
Mshauri wa wanafunzi wa Chuo kikuu cha tiba cha KCMC, Mchungaji Deogratius Msanya akitoa mada ya kisaikolojia katika kambi ya watoto hao wanaotoka mikoa ya Shinyanga na Simiyu.
Baadhi ya watoto walio kwenye kambi wakifurahi na kuonesha umahiri wao wa kucheza muziki
Mgeni rasmi Dk Mtumwa Mwako akiwa katika picha ya pamoja na Makamu Mganga Mkuu, Mratibu wa Ukimwi Mkoa wa Kilimanjaro, wafanyakazi wa AGPAHI na walezi wa watoto hao mara tu baada ya ufunguzi wa kambi.
Mgeni rasmi akiwa katika picha ya pamoja na watoto, walezi na wafanayakazi wa AGPAHI.Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI