MAELFU WAMZIKA AISHA MADINDA KIGAMBONI

 Mwili wa aliyekuwa mwimbaji na mnenguaji wa Bendi ya The African Stars (Twanga Pepeta), marehemu Mwanaisha Mbegu 'Aisha Madinda' ukiombewa dua nyumbani kwao Magogoni Kigamboni, Dar es Salaam. Alizikwa kwenye makaburi ya Tuangoma Kigamboni.
 Waombolezaji wakilia huku wengine wakiwa na majonzi
 Mwili ukishushwa nyumbani kwao marehemu Aisha Madinda eneo la Magogoni, Kigamboni
   Waombolezaji wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa aliyekuwa mwimbaji na mnenguaji wa Bendi ya The African Stars (Twanga Pepeta), marehemu Mwanaisha Mbegu 'Aisha Madinda' tayari kuombewa dua nyumbani kwao Magogoni Kigamboni, Dar es Salaam. Alizikwa kwenye makaburi ya Tuangoma Kigamboni.
 Akina mama waombolezaji wakiwa mbele ya jeneza lenye mwili wa marehemu
 Mtoto wa Aisha Madinda (aliyelala katikati) akilia na baadaye kupoteza fahamu
 Aliyekuwa bosi wa marehemu Aisha Madinda, Asha Baraka 9kushoto) akiwa katika msiba huo


Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA