Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum, akizindua rasmi usambazaji wa Takwimu za Pato la Taifa zilizorekebishwa kwa mwaka wa Kizio wa 2007, Dar es Salaam
Saada Mkuya Salum akimkabidhi takwimu hiyo Katibu Mkuu wa wizara ya Fedha, Dk. Servacious Likwelile
Mkuya akimkabidhi takwimu hiyo hiyo Mwakilishi wa BENKI YA dUNIA
Mkuya akimkabidhi ripoti hiyo msanii
Mkuya akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wageni waalikwa pamoja na maofisa wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu
Mkuya na Dk. Albina Chuwa wa NBS wakifurahia baada ya takwimu hiyo kuzinduliwa
Mkuya akiagana na Mwakilishi wa Benki ya Dunia
Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), Dk. Albina Chuwa (kushoto), akiagana na Mtakwimu Mkuu wa Zanzibar, Mohamed Hafidhi baada Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum kuzindua usambazaji wa Takwimu za Pato la Taifa zilizorekebishwa kwa Mwaka wa Kizio wa 2007, Dar es Salaam
Comments