Katibu Mkuu Kiongozi, Dk. Ombeni Sefue (wa pili kushoto) akisiliza maelezo kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Wakala wa Mafunzo kwa Njia ya Mtandao (TaGLA), Charles Senkondo (kushoto) alipotembelea kujua kazi zinazofanywa na TaGLA, Dar es Salaam
Ombeni 9kulia0 akizungumza kwa njia ya mtandao ambapo moja kwa moja alikuwa anaonwa nchini Kenya
Baadhi ya wageni na maofisa wa wakala hiyo
Ombeni akioneshwa chumba cha mitambo inayotumika kuendesha mikutano hadi 20 kwa wakati mmoja kwa njia ya video/mtandao
Ombeni akipata maelezo jinsi kituo hicho kinavyofanya kazi
Ombeni 9kulia0 akizungumza kwa njia ya mtandao ambapo moja kwa moja alikuwa anaonwa nchini Kenya
Baadhi ya wageni na maofisa wa wakala hiyo
Ombeni akioneshwa chumba cha mitambo inayotumika kuendesha mikutano hadi 20 kwa wakati mmoja kwa njia ya video/mtandao
Ombeni akipata maelezo jinsi kituo hicho kinavyofanya kazi
Comments