SETHI YA TEGETE ESCROW NAMWACHIA MUNGU



Mwenyekiti Mtendaji wa Kampuni ya IPTL na PAP, Harbinder Singh Sethi
Wakati masikio ya Watanzania yakiwa yameelekezwa Ikulu kusikia maamuzi ya Rais Jakaya Kikwete juu ya maazimio manane yaliyotolewa na Bunge kuhusu sakata la uchotaji wa zaidi ya Sh. bilioni 300 katika akaunti ya Tegeta Escrow ndani ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Mwenyekiti Mtendaji wa Kampuni ya IPTL na PAP, Harbinder Singh Sethi, ameibuka na kudai kuwa anamuachia Mungu yote yaliyotokea.
Alitoa kauli hiyo jana wakati akizungumza kwa simu katika mahojiano maalum na NIPASHE kuhusu mambo yaliyojitokeza katika mkutano wa16 na 17 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wakati wabunge walipokuwa wakijadili kashafa ya uchotaji fedha katika akaunti ya Tegeta Escrow.

Sethi alisema maamuzi yaliyofikiwa na Bunge kimsingi ni ya kumuonea kwa sababu alifuata taratibu na sheria za nchi wakati wa kutoa fedha hizo, hivyo anamuachia Mwenyezi Mungu ndiye ataamua hatma ya suala hilo.
Sethi ambaye hakutaka kueleza alipo kwa sasa, alisema uamuzi wa Bunge haujamtendea haki kwa sababu kwanza hakupewa nafasi na chombo chochote kutoa maelezo yake na badala yake yamefikiwa maamuzi mazito kama hayo.
Mahojiano kati ya mwandishi wa habari hii na Sethi yalikuwa kama hivi:
Mwandishi: Umesikia maamuzi yaliyotolewa na Bunge kuhusu suala la akaunti ya Escrow, je, unasemaje?

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.