Divas
wa Skylight Band wakitoa burudani kwa mashabiki wao Ijumaa iliyopita
ndani ya viunga vya Thai Village Masaki wakiongozwa na Meneja wa Band
Aneth Kushaba AK47 (katikati), Digna Mbepera (kulia) pamoja na Bela
Kombo.
Aneth
Kushaba AK47 sambamba na Bela Kombo wakiwapa raha mashabiki wa Skylight
Band Ijumaa iliyopita ndani ya kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar
es Salaam.
Sony
Masamba a.k.a Fally Ipupa wa bongo akifanya yake jukwaani kwa mashabiki
wa Skylight Band huku akisindikizwa na Sam Mapenzi (kulia) pamoja na
Joniko Flower.
Backstage nako walishindwa kujizuia nakuamua kupasha misuli moto huku wengine wakiendelea na kutoa burudani.
Diva Digna Mbepera akitoa burudani kwa wapenzi wa Skylight Band Ijumaa iliyopita kwenye kiota Thai Village Masaki jijini Dar.
Comments