TANGAZO LA KIFO CHA MAMA MZAZI WA AKINA MWAIBALE

Twitikege Mlagha Mafumu enzi za uhai wake
 
Familia ya  Mwaibale inatangaza kifo cha mama yao mpendwa, Twitikege Mlagha Mafumu kilichotekea leo saa 5 usiku wakati akipelekwa  Hospitali ya Hindu Mandal jijini Dar es Salaam kwa ajili ya matibabu.
 
Mipango ya mazishi inafanywa nyumbani kwa mtoto wake Mwalimu Mary Anyitike, eneo la Bucha Mbagala Kuu jijini Dar es Salaam.
 
Kwa mawasiliano zaidi  wasiliana na ndugu Kulwa Mwaibale kwa simu namba 0712-707630, O758-971351 na Dotto Mwaibale kwa namba ya simu 0712-727062, O786-858550, 0754-362990.
 
Bwana alitoa na Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.