Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini, IGP Ernest Mangu akizungumza na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Bi. Chiku Galawa jana wakati wa hafla ya ufunguzi wa Mkutano wa maafisa wakuu waandamizi wa Jeshi la Polisi unaoendelea Mkoani Dodoma.(Picha na Hassan Mndeme-Jeshi la Polisi)
Waziri wa Mambo ya
Ndani ya Nchi, Mhe.Mathias Chikawe (katikati) wakiongozana na Mkuu wa Jeshi la
Polisi Nchini, IGP Ernest Mangu pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Bi. Chiku
Galawa kuingia ukumbini kwenye hafla ya
ufunguzi wa Mkutano wa maafisa wakuu waandamizi wa Jeshi la Polisi unaoendelea
Mkoani Dodoma.(Picha na Hassan Mndeme-Jeshi la Polisi)
Baadhi ya maafisa wakuu
waandamizi wa Jeshi la Polisi wakiimba wimbo wa maadili ya ofisa wa polisi jana
kwenye ufunguzi wa mkutano wa wakuu hao unaoendelea Mkoani Dodoma.(Picha na
Hassan Mndeme-Jeshi la Polisi)
Comments