DR. SHEIN AWEKAJI JIWE LA MSINGI NYUMBA JESHI LA WANANCHI (JWTZ)

      

unnamed1ZRais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akifungua pazia ikiwa kama ishara ya uwekaji wa jiwe la msingi ujenzi wa Nyumba za Makaazi ya Wanajeshi wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) Vitongoji Wilaya ya Chake chake Pemba leo,ikiwa katika sherehe za shamra shamra za miaka 51 ya mapinduzi Matukufu ya Zanzibar,[Picha na Ikulu.] unnamed2ZRais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akitoa hutuba yake wakati wa uwekaji wa jiwe la msingi ujenzi wa Nyumba za Makaazi ya Wanajeshi wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) Vitongoji Wilaya ya Chake chake Pemba leo,ikiwa katika sherehe za shamra shamra za miaka 51 ya mapinduzi Matukufu ya Zanzibar,[Picha na Ikulu.]  unnamed3Z Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Ulinzi wa Tanzania Luteni Jenerali Samuel Albert Ndomba wakati alipofika katika Kambi ya Ali Khamis Vitongoji Wilaya ya Chake Cahke Pemba leo akiwa katika ziara maalum kuzindua miradi mbali mbali ya Maendeleo ikiwa ni katika shamra shamra za miaka 51 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar,[Picha na Ikulu.] unnamed4ZBaadhi ya wananchi waliohudhuria katika sherehe za uwekaji wa Jiwe la Msingi Ujenzi wa Nyumba za Makaazi ya Wanajeshi wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania ka(JWTZ) katika Kambi ya Ali Khamis Vitongoji Wilaya ya Chake chake Pemba leo,[Picha na Ikulu.]

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI