Jengo la
Ghorofa 8 likiwa linateketea katika ghorofa ya 4,Jengo hilo linamilikiwa
na mfanyabiashara anayejulikana kwa jina la Haji Kube ,vitu mbalimbali
zikiwemo Frem za Picha ,maua, vimeteketea kwa moto. ambapo mmiliki wa
ofisi hiyo yuko nje kwa safari
Hapo wananchi
wakikimbizana baada ya nguzo ya umeme kutowa mlipuko katika Barabara ya
Huru na Kongo Dar es Salaam kama ilivyonaswa na mwandishi wa Jambo Leo
alipokuwa akienda katika Jengo la Ghorofa 8 lililopo jirani na Msikiti
wa Kiblateni
.
Hapo wananchi wakikimbizana na kuondowa bidhaa zao baada ya nguzo ya umeme
kutoa mlipuko katika Barabara ya Uhuru na Kongo Dar es Salaam.
Comments