Makamu
wa Pili wa Rais Balozi Zanzibar Seif Ali Iddi akifungua pazia kuashiria
uzinduzi wa Barabara ya Amani- Mtoni kwa awamu ya pili ya ujenzi wake
katika shamra shamra za kutimiza miaka 51 ya Mapinduzi matukufu ya
Zanzibar. (kushoto alievaa kofia ya pama) Katibu Mkuu Waziri wa
Miundombinu na Mawasiliano Juma Malik Akili. Picha na Makame
Mshenga-Maelezo Zanzibar. Makamu
wa Pili wa Rais Balozi Seif Ali Iddi akikata utepe kuzindua Barabara ya
Mkapa iliopo Amani-Mtoni ikiwa ni shamra shamra za kutimiza miaka 51 ya
Mapinduzi matukufu ya Zanzibar (kushoto) Waziri wa Miundombinu na
Mawasiliano Juma Duni Haji.Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar. Baandhi
ya wananchi na Viongozi mbali mbali waliohudhuria katika sherehe za
uzinduzi wa Barabara ya Mkapa iliopo Amani-Mtoni Mjini Zanzibar. Waziri
wa Miundombinu na Mawasiliano Juma Duni Haji akitoa nasaha fupi na
kumkaribisha Balozi Seif Ali Iddi kutoa hutuba yake wakati wa uzinduzi
wa Barabara ya Mkapa iliopo Amani-Mtoni Mjini Zanzibar. Makamu
wa Pili wa Rais Balozi Seif Ali Iddi akihutubia katika Sherehe ya
uzinduzi wa Barabara ya Amani-Mtoni ikiwa ni miongoni wa shamra shamra
za kutimiza miaka 51 ya Mapinduzi matukufu ya Zanzibar. Barabara ya Amani-Mtoni iliyozinduliwa na Makamu wa Pili wa Rais Balozi Seif Ali Iddi. Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar.
MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA
1. Wahiraki, Hawa ni wanawake wa jamii ya Wahiraki wa napatikana kaskazini mwa Tanzania wamezagaa mikoa ya manyara ni weupe Wana Umbo zuri wanavutia kwa Macho. 2. Warangi, Hawa ni wanawake jamii ya Warangi ni wazuri nywele zao ni asili ya waraabu weupe sura nzuri wanapatikana kondoa. 3. Wanyiramba. Hawa ni warembo Sana sura matata wanapatikana mkoa wa singida kaskazini, usipokua makini utawafananisha na wanyaturu 4. Wamasai, kabila hili wanawake wazuri sio wengi Sana lakini ukikutana na sampuli Tatu au nne hivi utauza hata boxa kuongezea mahari wamezagaa Sana Arusha 5. Wahaya, hawa nao ni jamii ya Kanda ya ziwa maumbile Yao Kuna weupe miguu Yao ya bia shape matata wamejaa Sana bukoba. 6. Wanyaturu, Hawa wanafanana na Wanyiramba wanapatikana singida hasa ikungi na manyoni weupe wanavutia 7. Wapare, Hii ni jamii ya kabila la Wapare wanapatikana moshi wilaya ya same wako vizuri usicheze kabisa na hili kabila shape nzuri. 8 .Wamakonde, Hawa wanapatikana kusini mwa Tanzania ni kab
Comments