MFALME ABDULLAH BIN ABDULAZIZ WA SAUDI ARABIA AFARIKI DUNIA AKIWA NA MIAKA 90

Mfalme Abdullah Bin Abdulaziz enzi za uhai wake
Mfalme Abdullah Bin Abdulaziz enzi za uhai wake
Mfalme wa Saudi Arabia, Abdullah Bin Abdulaziz amefariki Dunia akiwa hospitalini nchini humo.
Tamko la kifo cha mfalme huyo, limetolewa na kaka wa mfalme huyo aitwae Salman ambaye nae aliwahi kuwa mfalme.
Kabla ya tamko hilo televisheni ya taifa ya Saudi ilikatiza matangazo yake na kuweka nyimbo za Quaraan kama ishara ya kifo cha kiongozi wa juu wa ufalme.
Mfalme Abdulrahi amefariki Dunia akiwa na umri wa miaka 90 na alilazwa hospitalini kwa wiki kadhaa tangu Desemba mwaka jana kutokana na maambukizi kwenye njia ya hewa.
His Highness Salman bin Abdulaziz Al Saud and all members of the family and the nation mourn the Custodian of the Two Holy Mosques King Abdullah bin Abdulaziz, who passed away at exactly 1 a.m. this morning,” alisema Salman
Viongozi mbalimbali Duniani wanaendelea kutuma rambirambi zao kwa familia ya marehemu anayetarajia kuzikwa baadae hii leo.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.