Mtoto Enike Neston Sanga Aliyepotea Hivi Karibu

Enike Neston Sanga
Mtoto Enike Neston Sanga , mwenye umri wa miaka 13 ni mwanafunzi wa kidato cha pili 2015 katika sekondari ya king'ongo kimara  jijini Dar es Salaam. inasemekana aliondoka nyumbani saa 9 tarehe 9 mwezi wa kwanza 2015. Wakati huo alikuwa na siku moja baada ya kurudi likizo kutoka kwa shangazi yake buza, anapenda kutembelea maeneo hayo kwa shangazi yake. Toka ameondoka hajaonekana tena mpk hivi sasa!!. Baba yake amesema baada ya kutoa taarifa na kufungua jalada
no. KMR/RB243/2015   kituo cha polisi kimara hayo leo wakati wakiongea na team ya ya mtandao huu  
-  Hivyo yeyote atakayemuona mtoto huyu,
piga simu +255 653400017
                      +255 753044680
                    +255 718377761
                      +255 715700416  
  Au atoe taarifa kituo chochote cha polisi kilicho karibu naye.
naombeni msaada wenu wana habari katika kufanikisha hili..
asanteni.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.