MWIGULU NCHEMBA ASHEREHEKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA KWA KUTEMBELEA YATIMA NA WAGONJWA

                     

 

 Naibu Waziri wa Fedha,Mwigulu Mchemba leo ameadhimisha miaka 40 tangu kuzaliwa kwake. Katika maadhimisho hayo Naibu waziri huyo ambaye pia ni Mbunge wa Iramba Magharibi ameitumia siku hiyo ya leo kwa kutembelea wagonjwa katika wodi ya Wazazi ya Hospitali ya Mwananyamala, Dar es Salaam, kuchangia damu pamoja na kuwatembelea na kuwapa zawadi yatima katika kituo cha CHAKUWAMA.
 Mwigulu akiwa na Mganga Mkuu wa Hospitali ya Mwananyamala.
 Mwigulu Mchemba akiangalia mmoja wa watoto waliozaliwa siku ya leo.
 Mwigulu Mchemba akitoa misaada ya vitu mbalimbali katika kituo cha yatima CHAKUWAMA.
Naibu Waziri Mwigulu Mchemba akichangia damu katika benki ya damu Salama.
Akipiga picha ya pamoja na watumishi wa Benki ya Damu Salama.  wananchi wa jimbo la Iramba Magharibu, Familia yake na watanzania wote kwa ujumlawanamtakia heri na fanaka katika maisha yake na Mungu amjalie Hekima na Busara.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

𝙂𝘼𝙈𝙊𝙉𝘿𝙄 𝙆𝘼𝘾𝙃𝙀𝙕𝘼 𝙆𝙄𝘽𝙄𝙉𝙂𝙒𝘼.