POLISI YATOA DAU LA SH MIL.3 KWA MTU ATAKAYEFANIKISHA KUWAKAMATA WALIOMTEKA MTOTO ALBINO

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza (RPC)Kamishna Msaidizi Mwandamizi (SACP) Valentiono Mlowola akionyesha waandishi wa habari (hawapo pichani) picha ya mtoto mwenye ulemavu wa ngozi Pendo Emmanuel (4) aliyetekwa na watu wasiojulikana na kutokomea naye.Hadi sasa hajapatikana wala mwili wake tangu atekwe Deesemba 27,mwaka jana.Polisi wametangaza dau la sh 3 milioni kwa mtu atakayefanikisha kutoa taarifa zitakazowezesha kupatikana kwake.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA