Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili katika Ikulu ya Ufaransamaarufu kama
Champs L’Elysee jijini Paris Jumatano jioni Januari 28,2015 kuonana na
mwenyeji wake Rais Francois Hollande.
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na mwenyeji wake Rais Francois Hollande
katika Ikulu ya Ufaransa maarufu kama Champs L’Elysee jijini Paris
Jumatano jioni Januari 28, 2015.
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete na ujumbe wake wakiwa katika mazungumzo na
mwenyeji wake kuonana na mwenyeji wake Rais Francois Hollande Ikulu ya
Ufaransa maarufu kama Champs L’Elysee jijini Paris Jumatano jioni
Januari 28, 2015 kuonana na mwenyeji wake Rais Francois
Hollande.
PICHA NA IKULU
Comments