<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj7brcEbsJ08eD2OBVt_Y2BbdRbLMtl59PSy8VrKic_IAdODz2cFpboHAIO5OUcWt3viej1YuOEsjeRQJRg97zqtEaVslxX-bGWBx2zHy606iXQ3X-SKOEdlllIZEi87gzPRdzNbFPR3d_5/s1600/AWEKA+MCHANGA+KABURINI.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj7brcEbsJ08eD2OBVt_Y2BbdRbLMtl59PSy8VrKic_IAdODz2cFpboHAIO5OUcWt3viej1YuOEsjeRQJRg97zqtEaVslxX-bGWBx2zHy606iXQ3X-SKOEdlllIZEi87gzPRdzNbFPR3d_5/s1600/AWEKA+MCHANGA+KABURINI.jpg" height="360" width="640" /></a></div>
MBUNGE Jimbo la Chalinze Ridhiwani Kikwete akiweka mchanga kwenye kaburi la Salehe Mpwimbwi aliyezikwa katika makaburi yaliyopo nje kidogo ya kijiji cha Miono, mazishi yaliyofanyika juzi baada ya
Mpwimbwi kupata ajali akiwa kwenye gari yake binafsi akitokea kijiji cha jirani kumpeleka mgonjwa ambapo njiani gari lake lilipasuka taili na kupinduka. (PICHA NA OMARY SAID).
<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj7brcEbsJ08eD2OBVt_Y2BbdRbLMtl59PSy8VrKic_IAdODz2cFpboHAIO5OUcWt3viej1YuOEsjeRQJRg97zqtEaVslxX-bGWBx2zHy606iXQ3X-SKOEdlllIZEi87gzPRdzNbFPR3d_5/s1600/AWEKA+MCHANGA+KABURINI.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj7brcEbsJ08eD2OBVt_Y2BbdRbLMtl59PSy8VrKic_IAdODz2cFpboHAIO5OUcWt3viej1YuOEsjeRQJRg97zqtEaVslxX-bGWBx2zHy606iXQ3X-SKOEdlllIZEi87gzPRdzNbFPR3d_5/s1600/AWEKA+MCHANGA+KABURINI.jpg" height="360" width="640" /></a></div>
MBUNGE Jimbo la Chalinze Ridhiwani Kikwete akiweka mchanga kwenye kaburi la Salehe Mpwimbwi aliyezikwa katika makaburi yaliyopo nje kidogo ya kijiji cha Miono, mazishi yaliyofanyika juzi baada ya
Mpwimbwi kupata ajali akiwa kwenye gari yake binafsi akitokea kijiji cha jirani kumpeleka mgonjwa ambapo njiani gari lake lilipasuka taili na kupinduka. (PICHA NA OMARY SAID).
Comments