RIDHIWANI KIKWETE ATIMIZA AHADI, AWASHUKURU WANANCHI KWA KUMCHAGUA CHALINZE;

Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete akimkabidhi Diwani wa Kata ya Miono. Senguli Mbele moja kati ya matairi manne aliyonunua kwa ajili ya gari la kubebea wagonjwa katika Kituo cha Afya cha Miono, wakati wa mkutano wa kuwashukuru wananchi kwa kumchagua miezi sita iliyopita. Mkutano huo ulifanyika jana katika Kata ya Miono, Chalinze, wilayani Bagamoyo, Pwani.
Wananchi wakiwa kwenye mkutano huo.(PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG
 Mmasai mwenye jamii ya kifugaji Andokela Okunge akiuliza swali kwa Mbunge Ridhiwani kuhsu Jamii sivyowaendea haki wafugaji ambapo alidai kuwa mkulima anaweza kuuzi shamba halafu baadaye anageuka na kusema amedhulumia jambo ambalo si kweli.
 Mwajabu Hemedambaye ambaye nyumba yake ilibomoka, akilalamik mbele ya Mbunge Ridhiwani kuwa alipotoa taarifa y kusaidiwa ujenzi wa yumba hiyo kwa Mwenyekiti wa Kitongoji, alijibiwa kwa dhiahaka kuwa amkubalie aklale naye kwanza ndipo amsaidie.
 Mzee Msoud Mhina akilalamika mbele ya Munge Ridhiwani kuwa Serikali ya CCM imewasahau wazee kwa kutowahudumia hali ambayo inawafanya waishi maisha magumu.
 Mkazi wa Miono, Sahaban Mpwimbwi akimuomba Mbunge Ridhiwani awasaidie katika Kata ya Miono kukarabati Rambo la maji ambalo limehribika. Rambo hilo lilijengwa Enzi Rais Jakaya Kikwete akiwa mbunge wa jibo la Chalinze.
 Ridhiwani akijadiliana jambo Diwani wa Kata ya Miono Senguli Mbele huku kwaya Kijiji ikitumbuiza na kutoa maneno ya matatizo yaliyopo katika Kituo cha Afya ch Miono ikiwemo kukosekana kwa chumba cha upasuaji ka waja wazito.
 Ridhiwani akisalimiana na wazee wa Miono
 Wafugaji wakijadiliana jambo a Mbunge Ridhiwani mjini Miono.
 Ridhiwani akisalimiana na watoto alipowasili katika Kijii cha Kweynkonje, Kata ya Miono
 Sehemu ya wananchi walihudhuria mkutano katika Kijiji cha Kweynkonje
 Mzee Khatib Yusufu akielezea jinsi walivyofurahi kutembelewa na Mbunge wao Ridhiwani atik Kijiji cha Kweynkonje
 Ridhiwni akisalimiana na Bibi Khadija Ibrahim lipowasili katika Kijiji cha Kweynkonje
Mkazi wa wa Kijiji cha Masimbani Kassim Mwakibindu 968) ambaye amesoma darasa moja  na Rais Jakaya Kikwete Kidato cha nane katika Shule ya Sekondari ya Lugoba, Chalinze wilayani Bagamoyo, Pwani, akimuomba Mbunge wa Jimbo la Chalinze Ridhiwani Kikwete kuendeleza juhudi za Rais Kikwete kwa kuwajali kwa maendeleo wakazi wa kijiji hicho kilichopo kata ya Miono/

M
Saumu Bakari akimuomba rIDHIWANI KUSAIDIA KUNUNUA JOKOFU LA KUHIFADHIA CHANJO NA DAWA KATIKA zAHANATI YA KIJIJI HICHO
Ridhiwani akizungumza na wananchi katika Kijiji cha Masimbani ambapo aliwashukuru na kuahidi kutekeleza ahadi mbalimbali alizoziahidi wakati wa kampeni.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA