Staff Sergeant wa wilaya ya Hanang Janet Mungolya akimkabithi funguo mshindi wa gari aina ya Toyota IST Bwn Mohamed Ahmed Khamisi mara baada kuibuka mshindi wa droo ya wiki ya nne ya promosheni ya Airtel yatosha Zaidi. Bi Emiliana ni mfanya biashara ndogo ndogo na mkazi wa wilaya ya Hanang mkoani Manyara akishuhudia ni meneja mauzo wa Airtel kanda ya kaskazini bwana Brighton Majwala
Staff Sergeant wa wilaya ya Hanang Janet Mungolya akimkabithi funguo mshindi wa gari aina ya Toyota IST Bi Emiliana Tarmo HHaway mara baada kuibuka mshindi wa droo ya wiki ya tano ya promosheni ya Airtel yatosha Zaidi. Bi Emiliana ni mkulima na mkazi wa wilaya ya Hanang mkoani Manyara akishuhudia ni meneja mauzo kanda ya kaskazini bwana Brighton Majwala
Mshindi wa gari aina ya Toyota IST kupitia promosheni ya Airtel Yatosha Zaidi bwana Mohamed Ahmed Khamisi akiwasha gari lake mara baada ya kukabithiwa gari yake katika halfa iliyofanyika katika uwanja wa mnada wa edasak wilaya ya Hanang mkoani Manyara
Mshindi wa gari aina ya Toyota IST kupitia promosheni ya Airtel Yatosha Zaidi Bi Emiliana Tarmo HHaway akifungua gari yake mara baada ya kukabidhiwa katika hafla iliyofanyika katika uwanja wa mnada wa edasak wilaya ya Hanang mkoani Manyara
Burudani katika hafla hiyo iliyofanyika katika uwanja wa mnada wa edasak wilaya ya Hanang mkoani Manyara.
Comments