Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Mhe,Wang Jiarui Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Baraza la Ushauri wa Kisiasa la Watu wa China pia Waziri wa Idara ya Kimataifa wa kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti cha China alipofika Ikulu Mjini Zanzibar akiwa na ujumbe wake leo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia)akizungumza na Mhe,Wang Jiarui Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Baraza la Ushauri wa Kisiasa la Watu wa China pia Waziri wa Idara ya Kimataifa wa Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti cha China (wa pIli kushoto) alipofika Ikulu Mjini Zanzibar akiwa na ujumbe wake leo (kushoto) Balozi wa China nchini Tanzania Lu Youging,
[Picha na Ikulu
Comments