KILICHOSABABISHWA ZITTO KABWE KUSHINDWA KESI MAHAKAMANI


Kilichosababisha kufutwa au kutupwa kwa kesi ya Zitto Kabwe dhidi ya CHADEMA ni technicalities tu. Hii ni baada ya mapingamizi 5 kukubaliwa. Kwa hiyo hata shauri la msingi halikusikilizwa. Kwa mfano.



1. Kesi kufunguliwa mahakama kuu haikuwa jambo sahihi kwani kesi hiyo ilipaswa kufunguliwa mahakama ya wilaya au mahakama ya hakimu mkazi (resident magistrate) kwa mujibu wa sheria ya mwenendo wa kesi za madai. 


2. Kesi ilikosewa kufunguliwa mahakama kuu registry kuu (main registry) badala ya mahakama kuu kanda ya Dar-es-Salaam (Dar-es-Salaam Registry).http://www.tanzaniaclassic.com

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI