Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (wa pili kushoto) akikagua Kiwanda cha kutengeneza matairi cha General Tyre kilichopo Arusha, ambacho kilifungwa Agosti 31,2009.Kiwanda hicho kinatarajia kuanza tena uzalishaji mapema mwaka huu.Kushoto kwake ni Mkurugenzi wa Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC), Mlingi Mkucha.
Komredi Kinana ambaye ameambatana na Katibu wa Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye yupo mkoani Arusha kwa ziara ya kuimarisha uhai wa chama, kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi pamoja na kusikiliza kero za wananchi na kuzitafutia ufumbuzi.
Komredi Kinana baadhi ya mitambo ya kiwanda hicho kilichopo eneo la Themi, Arusha.
Kinana akiangalia baadhi ya malighafi katika kiwanda hicho
Kinana akioneshwa aina mbalimbali za mitambo
Komredi Kinana akimsikiliza Kaimu Mkurugenzi wa NDC, Mlingi Mkucha kuhusu maendeleo ya ufugfuaji wa kiwanda hicho
Kinana na viongozi wengine wa CCM WAKITEMBELEA KIWANDA HICHO
Komredi Kinana akizungumza na baadhi ya waliokuwa wafanyakazi wa kiwanda hicho wanaolalamikia mafao madogo waliyolipwa baada kiwanda hicho kusimamisha uzalishaji 2009
Komredi Kinana ambaye ameambatana na Katibu wa Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye yupo mkoani Arusha kwa ziara ya kuimarisha uhai wa chama, kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi pamoja na kusikiliza kero za wananchi na kuzitafutia ufumbuzi.
Komredi Kinana baadhi ya mitambo ya kiwanda hicho kilichopo eneo la Themi, Arusha.
Kinana akiangalia baadhi ya malighafi katika kiwanda hicho
Kinana akioneshwa aina mbalimbali za mitambo
Komredi Kinana akimsikiliza Kaimu Mkurugenzi wa NDC, Mlingi Mkucha kuhusu maendeleo ya ufugfuaji wa kiwanda hicho
Kinana na viongozi wengine wa CCM WAKITEMBELEA KIWANDA HICHO
Komredi Kinana akizungumza na baadhi ya waliokuwa wafanyakazi wa kiwanda hicho wanaolalamikia mafao madogo waliyolipwa baada kiwanda hicho kusimamisha uzalishaji 2009
Comments