LOWASSA AWAFAGILIA KINANA NA NAPE KWA KUKIIMARISHA CHAMA

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akilakiwa kwa furaha na Mbunge wa Jimbo la Monduli, Waziri Mkuu mstaafu, Edward Lowassa wakati wa mapokezi  yaliyofanyika Makuyuni, tayari kuanza ziara mkoani Arusha leo.ikiwa ni mwendelezo wa ziara ya kuimarisha uhai wa chama, kukagua miradi inayotekelezwa kwa kufuata Ilani ya Uchaguzi ya CCM, pamoja na kusikiliza
kero za Wananchi na kuzitafutia ufumbuzi.

Lowassa amewafagilia Kinana na Nape kwa kazi nzuri wanaoifanya ya kuzunguka mikoa mbalimbali kwa ajili ya kuimarisha uhai wa chama ambapo alimshauri Komredi Kinana kupunguza kasi wanayokwenda nao kwani ni kubwa. Pia alisema hakuna katibu wa chama aliyefanya kazi kubwa ya kukiimarisha chama kama Kinana.
 Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akisalimiana na Mbunge wa Jimbo la Monduli, Waziri Mkuu mstaafu, Edward Lowassa wakati wa mapokezi yaliyofanyika Makuyuni, tayari kuanza ziara mkoani Arusha leo.ikiwa ni mwendelezo wa ziara ya kuimarisha uhai wa chama, kukagua miradi inayotekelezwa kwa  kufuata Ilani ya Uchaguzi ya CCM, pamoja na kusikiliza  kero za Wananchi na kuzitafutia ufumbuzi.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Kinana akivishwa skafu na vijana wa chipukizi mara baada ya kuwasili Makuyuni,wilayani Monduli tayari kwa kuanza ziara ya siku 8 Arusha
  Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akijadiliana jambo na Mbunge wa Jimbo la Monduli, Waziri Mkuu mstaafu, Edward Lowassa wakati wa mapokezi  yaliyofanyika Makuyuni, tayari kuanza ziara mkoani Arusha leo.ikiwa ni mwendelezo wa ziara ya kuimarisha uhai wa chama, kukagua miradi inayotekelezwa kwa kufuata Ilani ya Uchaguzi ya CCM, pamoja na kusikiliza
kero za Wananchi na kuzitafutia ufumbuzi.
  Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akizinduw mradi wa umeme vijini (REA) katika kijiji cha Lolkisale,Wilayani Monduli mkoani Arusha
 Baadhi ya Wananchi wakishangilia jambo wakati Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana alipokuwa akiwahutubia katika kijiji cha Lolkisale,ambapo pia alizindua mradi wa umeme vijijini (REA).
Pichani kulia,Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na Mbunge wa jimbo la Monduli,Edward Lowassa (kushoto) wakishiriki kupaka rangi jengo la hospitali ya wilaya,jengo hilo hadi kukamilika zinatarajia kutumia kiasi cha fedha shilingi bilioni tisa
 Pichani kulia,Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na Mbunge wa jimbo la Monduli,Edward Lowassa (kushoto) wakishiriki kuweka vitofali katika jengo la hospitali ya wilaya,jengo hilo hadi kukamilika linatarajia kutumia kiasi cha fedha shilingi bilioni tisa
 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akipokelewa kwa shangwe na wananchi wa Monduli mjini
 ,Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akiweka jiwe la msingi jengo la kitega uchumi CCM wilaya ya Monduli mkoani Arusha
 Baadhi ya Wananchi wa Mji wa Monduli wakiwa wamejitokeza kwa wingi kumsikiliza Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana Monduli mjini.

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na baadhi ya wakulima wa mpunga wakishiriki kwa pamoja upaliliaji wa shamba la Mpunga,Mto wa Mbu,wilaya Monduli mkoani Arusha.
 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (kushoto) akiwa sambamba na Mbunge wa jimbo la Monduli,Edward Lowassa wakitoka kushiriki kupalilia shamba la Mpunga,Mto wa Mbu wilayani Monduli mkoani Arusha.
 Baadhi ya Wafuasi wa chama cha CCM wakishangilia jambo .
Mbunge wa jimbo la Monduli,Edward Lowassa akihutubia katika uwanja wa barafu,Mto wa Mbu wilaya ya Monduli mkoani Arusha.
 Lowassa wakishangiliwa alipkuwa akihutubia katika mkutano huo
 Nape Nnauye akihutubia katika mkutano huo
Komredi Kinana akihutubia katika mkutano huo

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.