MADAKTARI VIJANA WAPEWA CHANGAMOTO KUHUSU MAGONJWA YA NGOZI

 Mmoja wa waratibu wa Semina ya madaktari kuhusu magonjwa ya ngozi, Jesinta Mboneko, akimkaribisha mmoja wa washiriki hiyo, Muuguzi katika hospitali ya Mbezi Medical Clinic inayojishughulisha na magonjwa hayo, Sarah Nyabhenda, kwenye ukumbi wa semina hiyo katika hoteli ya Protea Cortyard, Upanga jijini Dar es Salaam, jana jioni.
 Baadhi ya washiriki wakianza kuingia kwenye semina hiyo
 Mkuu wa Idara Chuo Kikuu cha Tiba Muhimbili (MUHAS), Dk. Denis Russa akiwakaribisha washiriki kwa ajili ya kuanza rasmi semina hiyo
 Mratibu Kiongozi wa semina hiyo, Mkurugenzi wa Mbezi Medical Clinic, Dk. Venant Mboneko akitoa maneno ya utangulizi kabla ya mtaalam wa magonjwa ya ngozi, kuanza kutoa mada kwenye semina hiyo
 Dk. Ranindra Babu kutoka nchini India, akitoa mada kuhusu maradhi ya ngozi yalivyo na tiba zake, wakati wa semina hiyo ya madaktari kuhusu ugonjwa huo, kwenye hoteli ya Protea Cortyard jijini Dar es Salaam, jana.
  Dk. Ranindra Babu kutoka nchini India, akitoa mada kuhusu maradhi ya ngozi yalivyo na tiba zake, wakati wa semina hiyo ya madaktari kuhusu ugonjwa huo, kwenye hoteli ya Protea Cortyard jijini Dar es Salaam, jana
Mgeni rasmi katika semina hiyo, Dk. Neema Rusibamanyika Mkurugenzi (katikati) kutoka wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii. akifuatilia mada wakati Dk. Babu akiendelea kuelezea kwa kina
 Baadhi ya washiriki wa semina hiyo wakifuatilia mada
  Baadhi ya washiriki wa semina hiyo wakifuatilia mada
  Baadhi ya washiriki wa semina hiyo wakifuatilia mada
  Baadhi ya washiriki wa semina hiyo wakifuatilia mada
 Mratibu wa semina hiyo, Jesinta Mboneko akifuatilia hali ya mambo kwenye semina hiyo
 Mgeni rasmi katika semina hiyo, Dk. Neema Rusibamanyika kutoka Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii akizungumza baada ya kumsikiliza mtoa mada. Dk. Neema amewashauri madaktari vijana, kubobea pia katika kutibu magonjwa ya ngozi kwa sababu licha ya kwamba si miongoni kwa magojwa yanayotishia uhai wa binadamu kwa kiwango kikubwa lakini yana madhara mabaya sana kwa binadamu. Amesema, madaktari wengi hawakimbiliii kujiunga na fani ya tiba ya magonjwa ya ngozi kwa kudhani pengine si muhimu sana kuliko magonjwa mengine ndiyo sababu madaktari waliobobea katika tiba hiyo ni wachache ikilinganishwa na walioko kwenye tiba ya magonjwa mengine.
 Mratibu Kiongozi wa Semina hiyo Dk Mboneko na mtoa mada Dk. Ranindra Babu wakimsikiliza mgeni rasmi.
 Dk. Mboneko akitoa neno la shukrani kwa waalikwa wote ambao waliweza kuhudhuria semina hiyo na kusikiliza mada kwa makini
 Dk. Mboneko akimpa zawadi ya saa Mgeni rasmi baada ya semina
 Dk. Mboneko akiendelea kutoa zawadi kwa baadhi ya wawakilishi kutoka Hospitali na vitengo mbalimbali waliohudhuria
  Dk. Mboneko akiendelea kutoa zawadi kwa baadhi ya wawakilishi kutoka Hospitali na vitengo mbalimbali waliohudhuria
  Dk. Mboneko akiendelea kutoa zawadi kwa baadhi ya wawakilishi kutoka Hospitali na vitengo mbalimbali waliohudhuria
  Dk. Mboneko akiendelea kutoa zawadi kwa baadhi ya wawakilishi kutoka Hospitali na vitengo mbalimbali waliohudhuria
  Dk. Mboneko akiendelea kutoa zawadi kwa baadhi ya wawakilishi kutoka Hospitali na vitengo mbalimbali waliohudhuria
  Dk. Mboneko akiendelea kutoa zawadi kwa baadhi ya wawakilishi kutoka Hospitali na vitengo mbalimbali waliohudhuria
 Dk. Mboneko akiwa na mgeni rasmi wakati mgeni huyo akijiandaa kuondoka ukumbini
 Jesinta Mboneko akimsindikiza mgeni rasmi
 Dk. Mboneko akizunguza na mwandishi wa ITV kueleza maudhui ya semina hiyo
 Baadae washiriki wakawa kwenye Cocktail party baada ya semina
 Wakichangamsha kinywa baada ya semina
 Wakipata vinywaji baada ya semina
 Wakipata vinywaji na kubadilishana mawazo baada ya semina
 Wakibadilishana mawazo na kupata vinywaji baada ya semina
 Dk. Mboneko akibadilishana mawazo huku wakipata vinywaji na mmoja wa washiriki wa semina hiyo
 Washiriki wa semina wakipata vinywaji kwenye Cocktail party hiyo
 Dk. Mboneko akiwa na baadhi ya washiriki
Dk. Mboneko na Dk. Babu wakiwa katika picha ya pamoja na washiriki wote wa semina hiyo. Picha zote na Bashir Nkoromo wa theNkoromo Blog

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*