Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed
Gharib Bilal, akisalimiana na Makamu wa Rais wa Shirika la Simu Vitnam
(VIETTEL) Hoang Son, wakati Makamu huyo alipofika Ofisini kwake Ikulu
jijini Dar es Salaam, leo Machi 9, 2015 kwa mazungumzo akiwa ameongozana
na ujumbe wake.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed
Gharib Bilal, akizungumza na Makamu wa Rais wa Shirika la Simu Vitnam
(VIETTEL) Hoang Son (wa pili kushoto kwake) na ujumbe wake Mkurugenzi
Mkuu wa Kampuni ya Viettel Global, Tao Duc Thang, Mshauri wa Viettel
Tanzania, Francis Mndolwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni hiyo, Nguyen
Thanh Quang, wakati Makamu huyo alipofika Ofisini kwake Ikulu jijini
Dar es Salaam, leo Machi 9, 2015
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed
Gharib Bilal, akiwa katika picha ya pamoja na ujumbe wa Kampuni ya
Viettel, baada ya mazungumzo yao yaliyofanyika leo Ofisini kwake Ikulu.
Picha
Comments