NGWASUMA, TWANGA ZILIVYOMENYANA JANA NA KUTOKA ‘SARE=SARE’

Wema na Aunt Ezekiel wakiingia ufukweni hapo..
Ray naye akiwasili katika burudani hiyo.
JB akisalimiana na mtushabiki wake.
Mshereheshaji wa shoo hiyo, Musa Hussein, akitunzwa na Mshindi wa Big Brother 2014, Idris Sultan.

Twanga wakikamua jukwaani.
Umati wa watu wakisebeneka
Kalala Junior akiimba kwa hisia.

Luiza Mbutu akiyarudi ‘magoma’
FM Academia kazini
Patchou Mwamba akiwajibika.BENDI mbili kongwe nchini, FM Academia ‘Wazee wa Ngwasuma’ na African Stars ‘Twanga Pepeta’, jana zimeoneshana umwamba wa hali ya juu baada ya kumenyana vilivyo katika shoo ya ushindani iliyofanyika jana usiku katika Ufukwe wa Escape One, jijini Dar.
Shoo hiyo ya kufa mtu iliyohudhuriwa na mastaa kibao na mamia ya mashabiki kutoka maeneo mbalimbali jijini, iliendeshwa kwa mwendo wa ‘raundi’ ambapo awali Twanga ilianza kisha Ngwasuma ikafuatia na zamu hiyo ikajirudia tena kwa zaidi ya mara tatu kabla ya ushindi wa shoo hiyo kuwa pointi sawa.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.