SIMBA YAFANYA KUFURU YAIKUNG'UTA PRISONS MABAO 5 KWA NUNGE

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiIde_HqL5NaABvOlgksGWcqXRyzj2qeIO4uALXEQ0pQo87jez4LsP3o3eGrhpvabXaffS44SLpWg6Yb_eTfbGvpyjtZwCS9DYhO0317f_cMNN_vLLO9aCqRqT494XJdbLx8bsVjTliAMx7/s1600/Simba.jpg 
Mabao ya Simba sc yaliingizwa kimiani na mchezaji Ibrahim Ajibu aliyefunga bao tatu pekee yake huku Emmanuel Okwi na Ramadhan Singano wakifunga bao moja moja na kuifanya mchezo huo kumalizika kwa ushindi wa bao 5-0 dhidi ya Prison katika uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam katika ligi kuu Tanzania bara.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*