SIMBA YAICHAPA YANGA LEO UWANJA WA TAIFA!!

Emmanuel Okwi wa Simba (kulia) akikwatuliwa na beki wa Yanga, Nadir Haroub 'Cannavaro' katika mechi baina ya timu hizo leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Simba ilishinda kwa bao 1-0 lililofungwa na Okwi.
Abdi Banda wa Simba (kulia) akiondoka na mpira huku akikabwa na kiungo Haruna Niyonzima wa Yanga.
Nahodha wa Yanga, Nadir Haroub 'Cannavaro' akizozana jambo na mwamuzi wa mechi ya Yanga na Simba, Martine Saanya.
Kipa wa Yanga, Ally Mustapha 'Barthez' akiudaka mpira huku akishuhudiwa na kiungo wa Simba, Ramadhani Singano (katikati) na beki wa Yanga, Oscar Joshua.
Beki wa Yanga, Mbuyu Twite akiondoa mpira huku akizongwa na Emmanuel Okwi wa Simba.
Mashabiki wa Yanga wakionekana kusisitiza jambo katika mchezo huo wa leo kati ya timu yao dhidi ya Simba.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI