Emmanuel
Okwi wa Simba (kulia) akikwatuliwa na beki wa Yanga, Nadir Haroub
'Cannavaro' katika mechi baina ya timu hizo leo kwenye Uwanja wa Taifa
jijini Dar es Salaam. Simba ilishinda kwa bao 1-0 lililofungwa na Okwi.
Nahodha wa Yanga, Nadir Haroub 'Cannavaro' akizozana jambo na mwamuzi wa mechi ya Yanga na Simba, Martine Saanya.
Kipa wa
Yanga, Ally Mustapha 'Barthez' akiudaka mpira huku akishuhudiwa na
kiungo wa Simba, Ramadhani Singano (katikati) na beki wa Yanga, Oscar
Joshua.
Beki wa Yanga, Mbuyu Twite akiondoa mpira huku akizongwa na Emmanuel Okwi wa Simba.
Mashabiki wa Yanga wakionekana kusisitiza jambo katika mchezo huo wa leo kati ya timu yao dhidi ya Simba.
Comments