UMOJA WA VYAMA VYA WANAFUNZI ELIMU YA JUU KUTOKA VYUO MBALIMBALI KANDA YA KASKAZINI WAMUOMBA PROF.MUHONGO KUGOMBEA URAIS 2015
UMOJA wa Vyama vya wanafunzi
Elimu ya juu kutoka vyuo mbalimbali kanda ya kaskazini Kilimanjarona
,Arusha ,wajitokeza kumshawishi Prof. Sos peter Muhongo Kugombea Urais
wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mwaka 2015.(Picha na Jamiiblog)
Akizungumza kwa niaba ya vijana
wenzake Mwenyekiti wa vijana hao Charles Ngereza kutoka chuo cha uhasibu
Arusha amesema kuwa kinachowafanya kumshawishi prof Sos peter kugombea
urais ni kutokana na kuwa kiongozi bora kwa wananchi na mtu anayejali
matatizo ya wananchikatika kuwapatia huduma
Pia wanasema kuwa amekuwa
akiwezesha uchumi kujitegemea na kupinga ulanguzi katika sekta ya
uwekezaji pamoja na kutetea vijana katika uwekezaji na kupata ajira.
Vijana hao ambao ni umoja wa
vyama vya wanafunzi wa elimu ya juu katika picha kutoka kushoto ni
NELSON WILSON MACHUMU ,TUMAIN UNIVARSITY. 2 DAUD HIPOLITY SHAYO CHUO CHA
UHASIBU (IAA)3 SARAH AMINIRABI MUSHI ARUSHA UNIVARSITY 4CHARLES NGEREZA
CHUO CHA UHASIBU ARUSHA.5HOBESHI JUVENARY MAKUMIRA UNIVARSITY PAMOJA NA
RAHMA YUSUPH SENGEZA CHUOCHA JOMO KENYATA
Comments