BIN SLUM AREJEA COASTAL UNION NA USHINDI WA BAO 2-0 DHIDI YA JKT

BIN SLUM (WA PILI KUSHOTO) NA WADAU WENGINE WA COASTAL UNION WAKISHEREKEA USHINDI WA COASTAL UNION, LEO. 
Ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya JKT Ruvu kwenye Uwanja wa Azam Complex, Dar es Salaam ni faraja kubwa kwa Coastal Union.
KWani pamoja na kupoza machungu ya kufungwa mabao 8-0 dhidi ya Yanga, inasherekea kurejea kwa aliyekuwa mdhamini wake nassor Bin Slum ambaye ameongoza jahazi.
Bin Slum amesema kweli amerejea Coastal Union na kuzika tofauti zilizojitokeza.
“Pamoja na migogoro yote iliyopita, nimekuwa nikisisitiza mimi ni Coastal Union na siwezi kubadilika.
“Nina faraja pia, nimerudi na ushindi wa mabao hayo mawili na sasa ni kujitahidi kwa kushirikiana na wenzangu ili Coastal Union isiteremke daraja,” alisema akionekana ni mwenye furaha.
Mabao ya Coastal Union katika mechi hiyo yalifungwa na Mkenya Rama Salim na Mnigeria, Bright Obinna.
Ushindi huo unaifanya Coastal kufikisha ponti 27 na kuondoka kwenye timu 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI

KOCHA WA AL.AHLY ASEMA YANGA NI TIMU BORA NA NGUMU