CAF yataja wapinzani wa Twiga - Afrika


Twiga stars viwanjani na shepolopolo ya Zambia
Shirikisho la soka barani Afrika (CAF) limetaja timu zitakazokwaana na timu ya Twiga Stars ya Tanzania katika fainali za soka za wanawake za Michezo ya Afrika itakayofanyika mwezi Septemba nchini Congo Brazzaville.
Twiga Stars imefanikiwa kucheza fainali hizo baada ya kuitoa timu ya Zambia (Shepolopolo).
Kwa mujibu wa CAF, timu zitakazochuana katika michezo hiyo baada ya kufuzu ni wenyeji Congo (Hosts), Cameroon, Ivory Coast (ambayo imefuzu baada ya Guinea Bissau kujitoa), Ghana, Misri, Nigeria, Afrika ya Kusini na Tanzania
Timu hizo zimefuzu baada ya kupata matokeo yafuatayo:
Nigeria 8-0 Mali (1-1- matokeo ya mechi ya kwanza)
Tanzania 2-3 Zambia (4-2)
Senegal 1-2 Egypt (0-0)
Afrika ya Kusini 5-0 Botswana (0-1)
Cameroon 2-1 Ethiopia (2-1)
Zimbabwe 2-2 Ghana (1-2)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.