Dr. Mengi Ashtushwa na taarifa za kuiangusha serikali ya Kikwete


Akizungumza na waandishi wa habari leo, Dr Mengi amesema ameshtushwa na taarifa zinazomshutumu kuiangusha serikali ya Rais Kikwete.
Habari hizo zilichapishwa na gazeti la 'TAIFA IMARA' likieleza mipango ya Mengi kumwadabisha Rais JK hata baada ya kumaliza muda wake.
Mengi amesema Rais alipewa taarifa hizo na Zitto Kabwe (kwa mujibu wa gazeti hilo) na anashangaa kuona mpaka sasa Kurugenzi ya mawasiliano ikulu haijakanusha.
Mengi ameendelea kusema kuwa Rais ni Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi yote kwa hiyo kutokanushwa kwa tuhuma hizo kunampa hofu ya maisha yake kwa sasa.
Chanzo: ITV habari!

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI