MRISHO MPOTO AIBIWA VITU VYA NDANI VYENYE THAMANI YA ZAIDI YA SHILINGI MILIONI SABA





Msanii wa muziki wa asili, Mrisho Mpoto amejikuta mpweke baada ya kupuliziwa dawa na wezi na kuibiwa vitu vya ndani vyenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 7 usiku wa kuamkia leo. Akizungumza na mtandao huu kwa masikitiko, Mpoto 
amesema wezi hao huenda waliwapulizia dawa hali ambayo ilisababisha kutoshtukia mchezo huo.

Sehemu ya TV na radio
“Yaani wamesafisha kila kitu,” amesema Mpoto. “Hapa sebuleni hakuna kitu yaani. Mimi mwenyewe nilikuwepo sema labda ni kwa sababu nyumba kubwa pia tunahisi labda walitumia dawa kwa sababu sio kawada nikalala hivyo bila kusikia kinachoendelea. Nahisi walitupulizia dawa za usingizi. Pesa nyingi sana ni zaidi ya milioni 7, sema tayari suala nimelifikisha polisi na wanaendelea na upelelezi. Wameiba vitu ni vingi, flati screen, maredio yaani ni vingi.”



CHANZO: BONGO 5

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*