Bondia nyota, Manny Pacquiao amesema mchezo wa ngumi ni kati ya michezo bora kabisa duniani.


Pacquiao amesema mchezo huo umebadilisha maisha ya wengi na mara nyingi amekuwa akikumbuka alivyoishi maisha ya shida huku mama yake akihangaika kusaka fedha ya chakula.

“Lakini leo napata kila kitu, familia yangu inaishi kwa raha. Ni mchezo ambao kwa juhudi zako mwenyewe ndiyo unavyoweza kupata malipo.

“Najiandaa vizuri, najua nitapambana na lakini Mayweather awe makini, ile hamu yangu ya ushindi, hamu ya kutaka kummaliza mtu imerejea,” alisema.

Mayweather na Pacqioa watapanda ulingoni Mei 3 kwa saa za Afrika Mashariki katika pambano ghali zaidi katika mchezo wa ngumi duniani.


Tayari kila mmoja amekuwa akiendelea na mazoezi huku akionyesha mbwembwe za kila aina.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.