RAIS KIKWETE AHUTUBIA UMOJA W MATAIFA KATIKA MKUTANO WA KUPATA MAENDELEO ENDELEVU KWA KUKUZA AJIRA NA KAZI ZA UTU
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia wakati wa ufunguzi wa Mkutano
unaozungumzia jinsi ya kupata Maendeleo endelevu kwa kukuza ajira na
kazi zenye utu (Achieving sustainable development through employment
creation and decent work) tarehe 30 Aprili, 2015 katika Makao Makuu ya
Umoja wa Mataifa (UN) jijini New York, Marekani.
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete na ujumbe wake wakiondoka baada ya yeye kuhutubia
wakati wa ufunguzi wa Mkutano unaozungumzia jinsi ya kupata Maendeleo
endelevu kwa kukuza ajira na kazi zenye utu (Achieving sustainable
development through employment creation and decent work) tarehe 30
Aprili, 2015 katika Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa (UN) jijini New
York, Marekani.
PICHA NA IKULU
Comments