TAZAMA MATUKIO YA KUSIMIKWA RASMI KWA ASKOFU WA JIMBO KUU LA SHINYANGA LIBERATUS.


Askofu mpya wa jimbo katoliki la Shinyanga Liberatus Sangu akiwekewa mkono kichwani.
Askofu mpya wa jimbo katoliki la Shinyanga Liberatus Sangu akiwekewa kitabu kichwani
Askofu mpya wa jimbo katoliki la Shinyanga Liberatus Sangu akipakwa mafuta.
Askofu mpya wa jimbo katoliki la Shinyanga Liberatus Sangu akikabidhiwa kitabu cha injili.
Askofu mpya wa jimbo katoliki la Shinyanga Liberatus Sangu akikabidhiwa bakora ya kiaskofu
Waziri mkuu mstaafu Edward Lowasa akishikana mkono na askofu mpya wa jimbo katoliki la Shinyanga Liberatus Sangu.
Rais Jakaya Kikwete akifuatilia kwa umakini ibada ya kuwekwa wakfu na kusimikwa kwa askofu Liberatus Sangu,kushoto kwake ni mkuu wa mkoa wa Shinyanga Ally Nassoro Rufunga,kulia kwake ni mwenyekiti wa Chama Cham Mapinduzi mkoa wa Shinyanga Khamis Mgeja,akifuatiwa na mkuu wa wilaya ya Shinyanga Josephine Matiro
Rais Kikwete akitoa salamu zake wakati wa ibada ya kuwekwa wakfu na kusimikwa kwa askofu Liberatus Sangu.
Askofu wa jimbo kuu la Dar es salaam Kadinali Pengo(aliyekaa katikati) akiongoza sala ya Litania huku askofu mpya wa jimbo katoliki la Shinyanga Liberatus Sangu akiwa amejilaza chini wakati wa ibada ya kuwekwa wakfu na kusimikwa rasmi katika kanisa kuu la mama mwenye huruma la Ngokolo mjini Shinyanga.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.