Mratibu wa Tiba Asilia kutoka Hospitali ya Wilaya ya Iramba,Roda Yona (kushoto) na Mkuu wa Kituo Kidogo cha Polisi Ndago, Richard Kimolo wakiwa katika mkutano na waganga wa tiba mbadala,Wakunga,Wenyeviti wa vijiji,Maofisa watendaji wa vijiji,Maofisa watendaji wa kata,Wenyeviti wa vitongoji pamoja na baadhi ya watumishi wa serikali waliopo katika kata ya Urughu wakihudhuria semina ya operesheni tokomeza mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi (Albino) na vikongwe wilayani Iramba, Singida
MUSTAFA MKULO AFARIKI DUNIA
* Bi Julie Mkulo*Anasikitika kutangaza kifo cha mume wake *Bw.Mustafa Mkulo* kilichotokea Leo *04-05-2024* Katika *hospital ya Muhimbili Dar es salaam* Shughuli zote za mazishi zitakuwa *Msikiti Maamur* *04-05-2024* Maziko yatakuwa jumapili *05-05-2024* Kilosa Morogoro Taarifa zaidi zitatolewa baadae *Inna lillahi wa inna ilayhi rajioon* Pumzika kwa amani Mustafa Haidi Mkulo, Waziri wa zamani wa Fedha na Mbunge wa zamani wa Kilosa.
Comments