Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Benk M Tanzania, Bi Jacguline Woiso, akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana kuhusu kuongezeka kwa rasilimali za Benki hiyo kutoka sh. Bilion 689 mwaka 2014 hadi sh. Bilion 728. Kulia ni Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Benki hiyo, Bw. Allan Msailiwa. (Na Mpigapicha Wetu
Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Benk M Tanzania, Bi Jacguline Woiso, akizungumza na mwandishi wa habari wa Citizen, Felix Lazaro, kuhusu mafanikio ya benki hiyo yanayotokana na ufanisi mkubwa na mikopo inayotolewa kwa wateja. (Na Mpigapicha Wetu)
Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Benk M Tanzania, Bi Jacguline Woiso, akizungumza na mwandishi wa habari wa Citizen, Felix Lazaro, kuhusu mafanikio ya benki hiyo yanayotokana na ufanisi mkubwa na mikopo inayotolewa kwa wateja. (Na Mpigapicha Wetu)
Comments