Timu ya Yanga leo imeifufumua timu ya Coastal Union ya Tanga jumla ya mabao 8-0 katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam, hivyo kufikisha pointi 43.
Azam FC imetoka sare ya bao 1-1 na Mbeya City katika mchezo uliofanyika kwenye Uwanja wa Azam Chamazi, Dar es Salaam. Azam sasa watakuwa na pointi 37.
Azam FC imetoka sare ya bao 1-1 na Mbeya City katika mchezo uliofanyika kwenye Uwanja wa Azam Chamazi, Dar es Salaam. Azam sasa watakuwa na pointi 37.
Comments