CCM NA MAANDALIZI YA MCHAKATO WA KURA ZA MAONI


Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa Sekretarieti leo kwenye Makao Makuu ya Chama Cha Mapinduzi mjini Dodoma, tarehe 23 Mei 2015.
                           TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Kamati Kuu katika kikao chake cha tarehe 22/05/2015 mjini Dodoma pamoja na mambo mengine imepokea na kutafakari kwa kina taarifa ya maandalizi ya mchakato wa kupiga kura ya maoni kwa Katiba inayopendekezwa.

Baada ya kutafakari na kwa kuzingatia changamoto mbalimbali zilizojitokeza katika maandalizi hayo, Kamati Kuu ya CCM inaishauri serikali kwa kushauriana na Tume ya Taifa ya Uchaguzi, wakizingatia changamoto zilizopo na hali halisi ya mchakato huu, kutafuta njia muafaka ya kulishughulikia na kulihitimisha jambo hili kwa maslahi mapana ya Taifa letu.

Imetolewa na:-
Nape Moses Nnauye
Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM (T).
23/05/2015

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.