Habari zilizotufikia hivi punde kutoka Kituo cha Masi Ubungo, Dar es Salaam, ni kwamba mabasi ya abiria yameanza kuondoka chini ya ulinzi mkali wa polisi kueleka mikoni.
Mabasi hayo yalishindwa kuondoka jana hadi leo asubuhi baada ya madereva wa mabasi hayo kuoma wakiitaka Serikali iingilie kati mgogoro wao na wamiliki wa mabasi kuhusu mikataba yao ya ajira.
Mabasi ya Shabiby yametoka kwa escort ya police, lakini taarifa na habari zinazoendelea ni kuwa abiria nao wanapanga ikifika saa 6 mchana wanazuia magari yote yanayopita barabara ya morogoro hususani ya serikali.
Update hii inakujua toka hapa Ubungo:
Kuna gari hapa min bus imejaa askali kanzu ambao wengine wamevaa mabomu wakishuka na wanatoa upepo wa tyres za magari.
Tayari Waziri Mkuu Kivuli, Mbowe tayari ameshafika Ubungo na kuangalia nini kifanyike, kutokana na Waziri mkuu husika kukataa.
Pia Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paulo Makonda ameshafika katika kituo hicho, wako pamoja na Mbowe.
Askari wakiimarisha ulinzi katika Kituo cha Mabasi Ubungo
Basi la Shabiby likijiandaa kuondoka Ubungo asubuhi
Baadhi ya abiria waliokwama Ubungo
Nauli za leo ni balaa:
1. Ubungo - Buguruni (Noah 1000, Bajaj 1000, Canter 500)
2. Ubungo - Mbagala (Noah 3000, Canter 2000, Bajaj 2000)
3. Ubungo- Kariakoo (Canter 3000, Noah 4000, Boda Boda 10,000 usiulize jioni kurud ubungo ni shilingj ngapi)
4. Kutoka Gongo la Mboto hadi Kariakoo Kilikuu sh. 4000
Serikali inatakiwa kufanya ufumbuzi wa haraka kuhusu mgomo huu wa madereva wa mabasi ili wananchi wasiendelee kupata adha na mateso.
Mabasi hayo yalishindwa kuondoka jana hadi leo asubuhi baada ya madereva wa mabasi hayo kuoma wakiitaka Serikali iingilie kati mgogoro wao na wamiliki wa mabasi kuhusu mikataba yao ya ajira.
Mabasi ya Shabiby yametoka kwa escort ya police, lakini taarifa na habari zinazoendelea ni kuwa abiria nao wanapanga ikifika saa 6 mchana wanazuia magari yote yanayopita barabara ya morogoro hususani ya serikali.
Update hii inakujua toka hapa Ubungo:
Kuna gari hapa min bus imejaa askali kanzu ambao wengine wamevaa mabomu wakishuka na wanatoa upepo wa tyres za magari.
Tayari Waziri Mkuu Kivuli, Mbowe tayari ameshafika Ubungo na kuangalia nini kifanyike, kutokana na Waziri mkuu husika kukataa.
Pia Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paulo Makonda ameshafika katika kituo hicho, wako pamoja na Mbowe.
Askari wakiimarisha ulinzi katika Kituo cha Mabasi Ubungo
Basi la Shabiby likijiandaa kuondoka Ubungo asubuhi
Baadhi ya abiria waliokwama Ubungo
Nauli za leo ni balaa:
1. Ubungo - Buguruni (Noah 1000, Bajaj 1000, Canter 500)
2. Ubungo - Mbagala (Noah 3000, Canter 2000, Bajaj 2000)
3. Ubungo- Kariakoo (Canter 3000, Noah 4000, Boda Boda 10,000 usiulize jioni kurud ubungo ni shilingj ngapi)
4. Kutoka Gongo la Mboto hadi Kariakoo Kilikuu sh. 4000
Serikali inatakiwa kufanya ufumbuzi wa haraka kuhusu mgomo huu wa madereva wa mabasi ili wananchi wasiendelee kupata adha na mateso.
Comments