Ingawa watu waliidharau Juventus, lakini imeanza mechi yake ya kwanza ya nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kwa kuwatuliza Real Madrid kwa kuwachapa 2-1.

Madrid ikiwa ugenini ilijikuta ikifungwa bao kupitia Alvaro Morata kabla ya Cristiano Ronaldo kuisawazishia Madrid.
Lakini shujaa wa Juventus alikuwa ni Carlos Tevez aliyefunga bao la pili katika kipindi cha pili kwa mkwaju wa penalti.
Madrid walijaribu kujitutumua lakini hawakuweza kusawazisha, hali inayowalazimu kuwa na kazi ngumu katika mechi ya marudiano kwao Santiago Benabeu.
Kesho Barcelona watakuwa na kazi ngumu dhidi ya Bayern Munich.









Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*