Kasi ya Utekelezaji miradi ya NHC Mtwara yamhamasisha Mkurugenzi wa Bodi


Mkurugenzi wa Bodi ya Shirika la Nyumba la Taifa, Subira Mchumo akielekeza jambo wakati wa ziara yake aliyoifanya kwenye mradi wa nyumba za gharama nafuu Masasi, mkoani Mtwara ambapo pamoja na mambo mengine amesifu kasi ya ujezi wa nyumba hizo unaozingatia viwango na muda na akawataka wafanyakazi wa NHC kuchapa kazi ili kufikia malengo yao waliyojiwekea. Kulia ni Mkurugenzi wa Fedha wa NHC, Felix Maagi, wa pili ni Eliaisa Keenja wa NHC, Meneja wa NHC mkoa wa Mtwara, Joseph John na Injinia wa mradi huo Leonard Kazoba.
Mkurugenzi wa Bodi ya Shirika la Nyumba la Taifa, Subira Mchumo akimsikiliza Mhandisi wa mradi huo Leonard Kazoba wakati wa ziara yake aliyoifanya kwenye mradi wa nyumba za gharama nafuu Masasi, mkoani Mtwara.
Mkurugenzi wa Bodi ya Shirika la Nyumba la Taifa, Subira Mchumo akimsikiliza Mhandisi wa mradi huo Leonard Kazoba wakati wa ziara yake aliyoifanya kwenye mradi wa nyumba za gharama nafuu Masasi, mkoani Mtwara.
Baadhi ya Nyumba za gharama nafuu Masasi zilizoko mkoani Mtwara.
Mkurugenzi wa Bodi ya Shirika la Nyumba la Taifa, Subira Mchumo akiendelea na ziara yake aliyoifanya kwenye mradi wa nyumba za gharama nafuu Masasi, mkoani Mtwara.
Baadhi ya Nyumba za gharama nafuu Masasi zilizoko mkoani Mtwara.
Baadhi ya Nyumba za gharama nafuu Masasi zilizoko mkoani Mtwara.
Baadhi ya Nyumba za gharama nafuu Masasi zilizoko mkoani Mtwara.
Mkurugenzi wa Bodi ya Shirika la Nyumba la Taifa, Subira Mchumo akimsikiliza Mhandisi wa mradi huo Leonard Kazoba wakati wa ziara yake aliyoifanya kwenye mradi wa nyumba za gharama nafuu Masasi, mkoani Mtwara.
Mkurugenzi wa Bodi ya Shirika la Nyumba la Taifa, Subira Mchumo akitoa maelekezo kwa menejimenti na wafanyakazi wa Shirika hilo wakati wa ziara yake aliyoifanya kwenye mradi wa nyumba za gharama nafuu Masasi, mkoani Mtwara.
Mkurugenzi wa Bodi ya Shirika la Nyumba la Taifa, Subira Mchumo akimsikiliza Mhandisi wa mradi huo Leonard Kazoba wakati wa ziara yake aliyoifanya kwenye mradi wa nyumba za gharama nafuu Masasi, mkoani Mtwara.
Mkurugenzi wa Bodi ya Shirika la Nyumba la Taifa, Subira Mchumo akiendelea na ziara yake katika mradi wa nyumba za ghorofa za NHC Shangani Apartments zilizopo katika eneo la Shangani mjini Mtwara, nyumba hizo zipo katika hatua za mwisho za kukamilika.
Mkurugenzi wa Bodi ya Shirika la Nyumba la Taifa, Subira Mchumo akiendelea na ziara yake katika mradi wa nyumba za ghorofa za NHC Shangani Apartments zilizopo katika eneo la Shangani mjini Mtwara, nyumba hizo zipo katika hatua za mwisho za kukamilika.
Mkurugenzi wa Bodi ya Shirika la Nyumba la Taifa, Subira Mchumo akiendelea na ziara yake katika mradi wa nyumba za ghorofa za NHC Shangani Apartments zilizopo katika eneo la Shangani mjini Mtwara, nyumba hizo zipo katika hatua za mwisho za kukamilika.
Mojawapo ya majengo katika nyumba za ghorofa za NHC Shangani Apartments zilizopo katika eneo la Shangani mjini Mtwara, nyumba hizo zipo katika hatua za mwisho za kukamilika.
Mojawapo ya majengo katika nyumba za ghorofa za NHC Shangani Apartments zilizopo katika eneo la Shangani mjini Mtwara, nyumba hizo zipo katika hatua za mwisho za kukamilika.
Mojawapo ya majengo katika nyumba za ghorofa za NHC Shangani Apartments zilizopo katika eneo la Shangani mjini Mtwara, nyumba hizo zipo katika hatua za mwisho za kukamilika

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA