Mbunge
wa Jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe akishirikiana na Wapigakura wake
kushusha rola la Nyaya za umeme kwenye kijiji cha Luhana kata ya Luana
wilayani Ludewa jana kwa ajili ya mradi wa umeme vijijini ambapo
kijiji hicho pia kinatarajiwa kupata umeme hivi karibuni.
Mbunge
jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe akishirikiana na wapiga kura wake
kushusha Transfoma jana kwa ajili ya kufungwa kwenye mradi wa umeme
unaotekelezwa kwenye kijiji cha Luana wilayani Ludewa mkoani Njombe.
Comments